Jinsi Arsenal ilivyoisambaratisha Man City

kubwa walivunja mzizi wa fitina angali wakicheza kwenye kiwanja cha ugenini.Shukrani zimuendee Santiago Cazorla aliyefunga bao la kwanza dakika ya 24 kwa mkwaju wa penati baada ya Kompony kumuangusha beki Monreal.Cazorla alitengeneza tena bao la pili la Arsenal lililofungwa na Olivier Giroud.Ushindi huo umerejesha imani na matumaini kwa washabiki wa Arsenal kurudi kwenye timu 4 za juu
Post a Comment