Timu hizi zipo kwenye mipango ya kumpeleka Pepe kwenye EPL

Manchester City wanajiandaa kupanda juu na kuwazidi mahasimu wao katika usajili wa beki wa Real Madrid
Pepe baada ya kugundua kuwa hana furaha na maisha ya maisha ya Bernabeu na anajiandaa kuondoka. Source: Daily Express
Manchester United wanajiandaa kumsajili Dragovic , timu hiyo ya Manchester united imeanza mazungumzo na timu ya Dynamo Kiev juu ya usajili wa kiungo huyo japo anahusishwa kutua Inter Milan. Source: Daily Star
Liverpool kumuwania Stindl kama mrithi wa Gerrard Liverpool ambaye anatarajia kuondoka kilabuni hapo msimu huu. Source: talkSPORT
AS Roma kuwadondokea Adebayor au Soldado ili kuirithi nafasi ya Mattia Destro amabaye ameenda kukipiga AC Milan. Source: Evening Standard
Southampton wanajiandaa kuwasajili Vihena na Djuricic, bosi wa Southampton Ronald Koeman yupo tayari kuwasajili viungo Vihena kutoka Feyenoord kwa dau la paun millioni 4 na Filip Djuricic kwa mkopo  kutoka Benefica. Source: Daily Express
Arsenal wanajiandaa kuingia sokoni tena wakitaka kumsajili Morgan Scheinederlin wa Southampton.Arsenal wamejiandaa kutoa dau la paun millioni 15 kwajili ya kumleta kiungo huyo Emirates. Source: Metro
Real Madrid wa,ekubali kumsajili golikipa wa timu ya River Plate Augusto Betalla , makubaliano hayao yamekuja baada ya mabinga hao kufikia hitimisho la mazungumzo yao na timu yake na wanatarajia kutangaza habari hizo hivi karibuni

No comments