TAZAMA PICHA ZA NYANGUMI ALIYEIBUKA PWANI YA MTWARA



Mzoga wa samaki aina ya nyangumi ukiwa katika pwani ya Bahari ya Hindi mkoani Mtwara baada ya kuvutwa ukielea majini na wavuvi wa Kata ya Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi ya tani 30.

Wananchi kutoka katika Kata ya Msangamkuu, Mtwara wakishuhudia mzoga huo.
Wakazi wa Mtwara wakiukata mzoga huo.

No comments